Matangazo ya Usharika tarehe 13 Julai 2025
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 13 JULAI, 2025
SIKU YA BWANA YA 4 BAADA YA UTATU
NENO LINALOTUONGOZA NI
KIJANA MKRISTO NI CHACHU YA MAENDELEO
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia na cheti.
3. Matoleo ya Tarehe 06/07/2025
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT
