June 2025
Waebrania 3:1-6 - 27-06-2025
1 Timotheo 6:11-16 - 25-06-2025
Matangazo ya Usharika tarehe 22 Juni 2025
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 22 JUNI, 2025
SIKU YA BWANA YA 1 BAADA YA UTATU
NENO LINALOTUONGOZA SIKU YA LEO NI
TUYASHIKE SANA MAUNGAMO YETU
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna Wageni waliotufikia na cheti.
3. Matoleo ya Tarehe 15/06/2025
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT
1 Timotheo 6:11-16 - 24-06-2025
Waefeso 4:1-4 - 23-06-2025
1 Petro1:1-2 - 21-06-2025
Wakolosai 1:21-29 - 20-06-2025
1Wakorintho 2:10-16 - 19-06-2025
1Yohana 5:7-10 - 18-06-2025
Matendo ya Mitume 2:33-36 - 17-06-2025
Matangazo ya Usharika tarehe 15 Juni 2025
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 15 JUNI, 2025
NENO LINALOTUONGOZA NI
MUNGU MMOJA, BABA, MWANA NA ROHO MTAKATIFU
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna Wageni waliotufikia na cheti.
3. Matoleo ya Tarehe 08/06/2025
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT
