October 2024
Waebrania 10:23-25 - 29-10-2024
Warumi 3:27-31 - 28-10-2024
Luka 10:17-20 - 25-10-2024
1 Petro 1:1-6 - 24-10-2024
Mwanzo 32:24-30 - 23-10-2024
1Timotheo 6:20-21 - 22-10-2024
Matangazo ya Usharika tarehe 20 Oktoba 2024
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 20 OKTOBA, 2024
SIKU YA BWANA YA 21 BAADA YA UTATU
NENO LINALOTUONGOZA SIKU YA LEO NI
TUISHINDANIE IMANI KATIKA KRISTO YESU
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna .mgeni aliyetufikia kwa cheti.
3. Matoleo ya Tarehe 13/10/2024
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
Waebrania 10:37-39 - 21-10-2024
Yeremia 17:7-8 - 18-10-2024
Wakolosai 2:20-23 - 14-10-2024
Waefeso 4:11-14 - 12-10-2024
Waefeso 3:14-16 - 11-10-2024
Sikukuu ya Mikaeli na Watoto 2024 | Azania Front Cathedral
Siku ya Jumapili tarehe 29 Septemba 2024 katika Usharika wa Kanisa Kuu Azania Front ilifanyika Sikukuu ya Mikaeli na Watoto; Sikukuu ambayo hufanyika kila mwaka kwa ajili ya kumkumbuka malaika Mikeli na watakatifu wote pamoja na watoto. Ibada hii hufanyika kwa kuongozwa na watoto wakisaidiana na walimu wao pamoja na watumishi wengine wa usharika (parish workers).
AZF | Mkesha wa Kusifu na Kuabudu (Night of Praise 2024)
Siku ya Ijumaa tarehe 04 Oktoba 2024, ulifanyika mkesha wa kusifu na kuabudu (night of praise) katika Usharika wa Kanisa Kuu Azania Front Cathedral. Tukio hili la kipekee na la aina yake ambalo limefanyika kwa awamu ya pili chini ya uratibu wa Umoja wa Vijana wa Usharika, liliongozwa na Mchungaji Joseph Mlaki na kuhudhuriwa na washarika na wageni mbalimbali.
