June 2023
Matangazo ya Usharika tarehe 11 Juni 2023
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 11 JUNI, 2023
NENO LINALOTUONGOZA NI
MUNGU AU ULIMWENGU
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia kwa cheti.
3. Matoleo ya Tarehe 04/06/2023
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT
Namba ya Wakala M-PESA – 5795794 – KKKT AZANIA FRONT CATHEDRAL
Mathayo 16:21-26 - 12-06-2023
Kutoka 3:11-14 - 10-06-2023
1Yohana 4:1-3 - 09-06-2023
1Yohana 4:1-3 - 09-06-2023
TANGAZO | Kambi ya Watoto na Ziara - Shule ya Jumapili
Uongozi wa usharika unapenda kuwatangazia wazazi wa watoto wa shule ya jumapili kuwa tarehe 14-15/06/2023 kutakuwa na kambi ya watoto hapa usharikani muda ni saa 02.30 asubuhi hadi 10:00 jioni masomo yatakayofundishwa ni
Waefeso 1:1-9 - 08-06-2023
Matangazo ya Usharika tarehe 4 Mei 2023
MATANGAZO YA USHARIKA
LEO TAREHE 04 JUNI, 2023
NENO LINALOTUONGOZA SIKU YA LEO NI MUNGU BABA, MWANA NA ROHO MTAKATIFU
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia kwa cheti. Kama kuna wageni ambao ni mara yao ya kwanza kushiriki nasi wasimame ili tuwakaribishe.
3. Matoleo ya Tarehe 28/05/2023
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
