Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) na Mkuu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Baba Askofu Dkt. Alex Malasusa amewabariki na kuwaingiza kazini rasmi wajumbe wapya wa Baraza la Wazee wa Usharika wa Kanisa Kuu Azania Front katika ibada iliyofanyika Usharikani hapo, siku ya Jumapili, 2 Agosti 2026.
Safu hiyo mpya ya Baraza la Wazee ilipatikana katika mchakato wa uchaguzi uliofanyika katika Usharika wa Azania Front siku ya Jumapili, 14 Juni 2026 na itauongoza usharika kwa kipindi cha miaka minne (2026-2030).
Ibada hiyo pia imehudhuriwa na Msaidizi wa Baba Askofu, Dean Chediel Lwiza pamoja na Mchungaji Kiongozi wa Usharika, Chaplain Victor Makundi.
ORODHA MPYA YA WAZEE WA KANISA 2026-2030
- Adela Kaale
- Albert Geofrey Mmari
- Anael Samuel Mshana
- Anitha Rwehumbiza
- Aron Ndasiwa
- Brenda Msangi Kinemo
- Catherine Haule
- David Mawalla
- Dina Lwaga
- Doris Maro
- Elieth Kileo Toya
- Fred Msemwa (Dr)
- Grace Mgonda Kiwanga
- Heri Nderingo
- Hilda Rwanshane
- Jaqueline Junior Swai
- Joan Rugemalila Matee (Dr)
- Judica Omari
- Lilian Mbowe
- Luty Makani
- Martha Mkony 9Dr)
- Mcharo Mlaki (Eng)
- Miriam Malasusa
- Mpale Silkiluwasha (Dr)
- Mtanya William Matuja
- Nangi Massawe
- Nsaa-iya Kihunrwa
- Rehema Mayanga Sanare
- Samuel Swai (Dr)
- Simon Jengo
- Victor Kida
- Vupe Ligate Mpuya
- Wilfred Moshi (Arch)














Matukio katika picha kutoka kwenye ibada na iliyoambatana na tendo la kuwabariki na kuwaingiza kazini Wazee wa Kanisa wa Usharika wa Azania Front Cathedral, 2 Agosti 2026. Picha: AZF/ Media Team.
